0
Screen Shot 2014-08-14 at 11.10.46 AM

Msanii wa longtime kwenye bongofleva Afande Sele amewajulisha watu wake wa karibu na mashabiki kuhusu msiba uliomkuta kwa kufiwa na mama wa wanae.
Kupitia ukurasa wa facebook Afande Sele aliandika “Ndugu zangu!! Nimefiwa na mzazi mwenzangu (Asha) /mama wa wanangu (mama Tunda) ..ni pigo kubwa kwangu na wanangu. Sisi ni waja wa mwenyezi mungu na hakika kwake tutarejea; mungu ampumzishe pema.”

Screen Shot 2014-08-14 at 11.12.56 AM
Kutoka kulia ni Marehemu Asha, Afande na watoto wake Asante na wa mwisho kushoto ndio Tunda.
AFANDE

Post a Comment Blogger

 
Top