0
Muda mfupi baada ya mchezo wa jana wa ligi kuu ya England kati ya Arsenal na Liverpool ambao uliisha kwa matokeo ya Liverpool kuichapa Arsenal 5-1, kipa wa klabu ya Arsenal Wojciech Szczesny alitumia akaunti yake ya mtandao wa kijamii kuwaomba msamaha mashabiki wa timu hiyo kwa kipigo hicho.
Aliandika: “Ilikuwa ni aibu kubwa, samahani kwa yoyote aliyekaa dakika zote 90 kuangalia hiyo mechi” 


Screen Shot 2014-02-09 at 12.55.50 PM

Post a Comment Blogger

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top