0
1510512_289970537825681_1111168878_nMatukio ya ajali za barabarani bado yanazidi kuripotiwa na hii imetokea asubuhi ya leo ikihusisha basi la Hood lililokuwa likitokea Arusha kwenda Mbeya kupata ajali na kupinduka eneo la Same,mpaka sasa taarifa rasmi haijatoka ya jumla ya majeruhi na watu waliopoteza maisha.

1013844_289970731158995_649919829_n                                     Miongoni mwa abiria wanaosadikika kupoteza maisha

Post a Comment Blogger

 
Top