0

Soudy Brown kapata tetesi kuwa staa wa kipindi cha vichekesho cha Futuhi kinachorushwa na StarTV Sharobaro wa Kihaya  amekuwa na uhusiano na mwanamke wa rafiki yake..akaona apate ukweli kuhusu malalamiko hayo.
Rafiki wa Sharo wa Kihaya amesimulia na kusema yeye na mshikaji walikua marafiki, na alikua akimkaribisha nyumbani mara kwa mara, lakini alikuja kushangaa wamekuwa karibu kiasi cha jamaa kununuliwa gari na mke wa wake…
Wasikilize hapa kwenye Uheard..

Post a Comment Blogger

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top