Ndege hiyo ambayo inasemekana ilibeba abiria 227 na wafanyakazi 12 kutoka nchi mbalimbali ilipoteza mawasiliano saa moja baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kuala Lumpur Malaysia na ilikua ikielekea Beijing China.
Ndege inayosemekana kuzama baharini...
Ndege hiyo ambayo inasemekana ilibeba abiria 227 na wafanyakazi 12 kutoka nchi mbalimbali ilipoteza mawasiliano saa moja baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kuala Lumpur Malaysia na ilikua ikielekea Beijing China.
Post a Comment Blogger Facebook