0
Mazishi ya msanii Geez Mabovu ambaye alikuwa maarufu kwenye muziki wa Hiphop Tanzania, yamefanyika leo nyumbani kwao Iringa katika makaburi ya Mlolo.
Mabovu amefariki dunia kwenye hospitali alikokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam akisumbuliwa na maradhi ya kifua.
Ndugu, jamaa, marafiki, wasanii na watu mbalimbali wamejitokeza kushiriki katika mazishi hayo.
Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya msanii huyo.
image-13-11-14-06-32-2
IMG_3073
IMG_3076
IMG_3081
Msafara wa Mazishi

image-13-11-14-06-32-3
image-13-11-14-06-32

Kaburi
Marafiki Mazishi
image-13-11-14-06-32-1
Baba wa GeezPicha: Francis Godwin

Post a Comment Blogger

 
Top